SAFIRISHA MIZIGO KWA HARAKA

Tuko Barabarani Siku Zote, Saa Yoyote.

ABOUT MODELL TRANSPORT

A Transportation Agency based in Dar es Salaam

and Mwanza, Tanzania.

TUNAKUFIKIA POPOTE ULIPO

Kutoka Dar es Salaam kwenda Shinyanga, Dodoma na

Mwanza Kwa Bei Nafuu.

SAFIRISHA MIZIGO KWA HARAKA

Tuko Barabarani Siku Zote, Saa Yoyote.

ABOUT MODELL TRANSPORT

A Transportation Agency based in Dar es Salaam and Mwanza, Tanzania.

TUNAKUFIKIA POPOTE ULIPO

Kutoka Dar es Salaam kwenda Shinyanga, Dodoma na

Mwanza Kwa Bei Nafuu.

Usafiri Wa Kuaminika

Safirisha mizigo yako kwa haraka kwa bei nafuu kupitia kampuni ya Modell Transport Agency yenye wataalamu wenye uzoefu katika masuala ya usafirishaji.

Usafiri wa Haraka, Ili Kazi Zako Ziendelee.

Tunatambua unahitaji kufikishiwa bidhaa zako mapema ili biashara zako ziendelee. Basi hakuna kusubiri tena. Safirisha mizigo yako na Modell Transport kwa huduma ya uhakika na kuaminika.

semi trailer truck

Utaratibu Wetu Wa Kazi

Tunachukua Mzigo Wako Popote Ulipo

Tunachukua mzigo wako na kuuleta ofisini kwetu kutoka ulipo. Iwe ni Kariakoo, Bandarini au popote pale Dar es Salaam

Tunajaza Taarifa Muhimu

Tunajaza taarifa zote muhimu kuhusu mzigo wako na kuuhifadhi mahali sala kusubiri kupakiwa.

R

Safari Inaanza

Mara baada ya taratibu za kupakia na mambo mengine ya clearance mzigo wako utakuwa njiani kuja kwako.

Wasemavyo Wateja Wetu

Ninapokea mizigo yangu kwa wakati na ninafanya biashara zangu. Asanteni kwa huduma nzuri na Uaminifu.

Mfanyabiashara, Mwanza

Natumia Modell Transport kutoa huduma ya delivery kwa wateja wangu wa mikoa ya kati wakinunu bidhaa za jumla kwenye duka langu.

Mfanyabiashara, Kariakoo

Modell Transport walikuwa wananipa taarifa ya mzigo wangu ulipofika na muda utakaonifikia. Wanajua kuwasiliana na wateja wao.

Mteja, Singida

Maswali Yaulizwayo Mara Kwa Mara

Inachukua muda gani mzigo wangu kuwasili?

Kwa wateja wa mikoa ya Shinyanga na Mwanza, tegemea kupokea mzigo wako ndani ya siku zisizozidi mbili. Kwa wateja wa Dodoma unaweza kupokea mzigo wako ndani ya siku moja hadi mbili. Ikitokea uchelewashwaji tutakutaarifu sababu za kuchelewa mzigo wako.

Mawasiliano

Ofisi za Dar: 0755395787
Mwanza: 0742256867, Dodoma: 0679338840

Follow Us